Kikosi cha "makomandoo" wavulana
Kikosi cha "makomandoo" wasichana
Sanaa ya kujilinda kwa mikono mitupu
Kamanda msaidizi akitoa amri
Makamanda wa gwaride
Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi Dkt John Nchimbi akisema machache
Sehemu ya wageni kutoka mikoa yote
Wageni kutoka chama tawala cha Uganda wakiteta jambo
Sehemu ya waalikwa kutoka mikoa yote
Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahman Kinana akiongea na umati
Mwakilishi wa cha tawala cha Uganda akisema machache
Sehemu ya jukwaa kuu ikishangilia
Makamu Mwenkeyikiti wa chama tawala cha Uganda akisalimia
Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete akicheza kwa furaha jukwaa kuu
CCM Oye!
Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete akihutubia umati wa wananachi
Rais Kikwete akimpongeza Mwenyekiti wa CCM Songea kwa maandalizi mazuri
Sehemu ya maelfu ya wananchi
Rais Kikwete akiendelea na hotuba
Nyomi
Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete akigawa kadi kwa wanachama wapya akiwa na Mbunge wa Songea Mjini Dkt Emmanuel Nchimbi na Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahman Kinana
Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete akigawa kadi kwa wanachama wapya akiwa na Mbunge wa Songea Mjini Dkt Emmanuel Nchimbi na Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahman Kinana
Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete akigawa kadi kwa wanachama wapya akiwa na Mbunge wa Songea Mjini Dkt Emmanuel Nchimbi na Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahman Kinana
Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete akigawa kadi kwa wanachama wapya akiwa na Mbunge wa Songea Mjini Dkt Emmanuel Nchimbi na Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahman Kinana
Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete akigawa kadi kwa wanachama wapya akiwa na Mbunge wa Songea Mjini Dkt Emmanuel Nchimbi na Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahman Kinana
Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete akigawa kadi kwa wanachama wapya akiwa na Mbunge wa Songea Mjini Dkt Emmanuel Nchimbi na Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahman Kinana
Msanii Diamond na kundi lake la Wasafi wakitumbuiza
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernad Membe akiongea na Naibu Waziri wa Fedha Mhe Mwigulu Nchemba
Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahman Kinana na Katibu Mwenezi na Itikadi Ndg Nape Nnauye wakisalimia umati
Diamond na kundi lake wakitumbuiza
Diamond na Abddul Misambano na kikundi cha TOT wakitumbuiza
No comments :
Post a Comment