dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Tuesday, April 12, 2016

Pichaz: Jengo la Ghorofa 6 Laporomoka Makerere University, Laua 8

WATU wapatao nane wameripotiwa kufariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya jengo la ghorofa sita lililoko karibu na Chuo Kikuu cha Makerere, Kampala nchini Uganda kuporomoka.

Wanafunzi wa Chuo cha Makerere waliongea na EagleOnline kuwa, tukio hilo lilitokea jana Jumatatu Aprili 11 mchana ambapo jengo hilo la Kyaseka Towers lililopo barabara ya Makerere Hill karibu kabisa na chuo hicho liliporomoka baada ya kuzidiwa urefu kwa kuwa mmiliki wake aliamua kuongeza floor nyingine juu bila kibali kutoka mamlaka za ujenzi.










Kyobe Rashid ni miongoni mwa waliofariki dunia kutokana na ajali hiyo.

No comments :

Post a Comment