Imefikia hatua sasa inabidi tuwe makini zaidi na mali zetu, kilichompata Master J na wenzake kisitutokee na sisi maana kuibiwa laptop na vitu vingine kwenye gari kumetokea sehemu ambayo hata hauitarajii, tulizoea kusikia wizi huu maeneo kama Mlimani City na Town Dar es salaam ila sio Ununio kwakweli.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
No comments :
Post a Comment