Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suuhu akisalimiana na viongozi mbalimbali wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro, tayari kwa ufunguzi wa mkutano wa SARPCCO EXTRA ORDINARY MEETING kesho Septemba 16, 2016 katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa AICC, Jijini Arusha. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment