dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Friday, September 9, 2016

RAIS DKT MAGUFULI AONGOZA MKUTANO WA 17 WA DHARURA WA NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM!

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli na viongozi wenzie wakisimama wakati wimbo wa Jumuiya ukipigwa wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa 17 wa Dharula wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es salaam leo Septemba 8, 2016

Sehemu ya waliohudhuria wakiwa wamesimama wakati wimbo wa Jumuiya ukipigwa wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa 17 wa Dharula wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es salaam leo Septemba 8, 2016

Ujumbe wa Burundi

Sehemu ya mabalozi wa nchi mbalimbali wakiwa mkutanoni hapo

Wageni kutoka nchi wanachama

Mabalozi wa nchi mbalimbali wakiwa mkutanoni hapo

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akiongoza mkutano. Anafuatiwa na Rais Paul Kagame wa Rwanda, Mwakilishi maalum wa Rais wa Sudan ya Kusini Mhe Aggrey Tisa Sabuni, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Liberat Mfumukeko
Waziri Mkuu Mstafu Jaji Joseph Sinde Warioba (kati) na Katibu Mkuu Mstaafu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Balozi Juma Mwapachu (kushoto) wakiwa na viongozi wastaafu wa Jumuiya

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akiongoza mkutano. Kushoto kwake ni Rais Paul Kagame wa Rwanda, Mwakilishi wa Rais wa Sudan ya Kusini Mhe Aggrey Tisa Sabuni, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein. Kulia kwake ni Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda, Naibu Rais wa Kenya Mhe William Rutto na mwakilishi wa Rais wa Burundi na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Balozi Alain Aime Nyamitwe

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akiongoza mkutano akiwa na Rais Paul Kagame wa Rwanda na Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akijadiliana jambo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Liberat Mfumukeko

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akihutubia mkutano huo

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akiendelea na hotuba yake

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akipigiwa makofi na wahudhuriaji

Sehemu ya mabalozi wakisikiliza hotuba ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli 

Wanahabari wakirekodi hotuba ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli 

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akihutubia

Dkt Mussa Lulandala wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam alikuwa nyota wa mkutano kwa kuweza kufasiri kwa ustadi wa hali ya juu hotuba zote kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili na Kiswahili kwenda Kiingereza

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein akiteta jambo na Balozi Liberat Mfumukeko

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akiongea jambo na Rais Paul Kagame

Naibu Katibu Mkuu wa Jumjuiya ya Afrika Mashariki (atayesimamia Utawala na Fedha) Mhe Christophe Bazivamo akila kiapo katika mkutano huo.

Naibu Katibu Mkuu wa Jumjuiya ya Afrika Mashariki (atayesimamia Utawala na Fedha) Mhe Christophe Bazivamo akitoa heshima meza kuu baada ya kula kiapo katika mkutano huo.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akimpongeza Naibu Katibu Mkuu wa Jumjuiya ya Afrika Mashariki (atayesimamia Utawala na Fedha) Mhe Christophe Bazivamo baada ya kula kiapo katika mkutano huo.

Rais Paul Kagame wa Rwanda akimpongeza Naibu Katibu Mkuu wa Jumjuiya ya Afrika Mashariki (atayesimamia Utawala na Fedha) Mhe Christophe Bazivamo baada ya kula kiapo katika mkutano huo.

Naibu Rais wa Kenya Mhe William Rutto akimpongeza Naibu Katibu Mkuu wa Jumjuiya ya Afrika Mashariki (atayesimamia Utawala na Fedha) Mhe Christophe Bazivamo baada ya kula kiapo katika mkutano huo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein akimpongeza Naibu Katibu Mkuu wa Jumjuiya ya Afrika Mashariki (atayesimamia Utawala na Fedha) Mhe Christophe Bazivamo baada ya kula kiapo katika mkutano huo.

Viongozi na wabunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakimshangilia Naibu Katibu Mkuu wa Jumjuiya ya Afrika Mashariki (atayesimamia Utawala na Fedha) Mhe Christophe Bazivamo baada ya kula kiapo katika mkutano huo.

Viongozi na wabunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakimpongeza Naibu Katibu Mkuu wa Jumjuiya ya Afrika Mashariki (atayesimamia Utawala na Fedha) Mhe Christophe Bazivamo baada ya kula kiapo katika mkutano huo.

Manaibu Makatibu wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakimpongeza Naibu Katibu Mkuu mpya wa Jumjuiya ya Afrika Mashariki (atayesimamia Utawala na Fedha) Mhe Christophe Bazivamo baada ya kula kiapo katika mkutano huo.

Sehemu ya waliohudhuria

Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda akihutubia

Rais Paul Kagame wa Rwanda akiongea machache

Naibu Rais wa Kenya Mhe William Rutto akizungumza machache

Naibu Rais wa Kenya Mhe William Rutto akisisitiza jambo

mwakilishi wa Rais wa Burundi na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Balozi Alain Aime Nyamitwe akiongea machache

Mwakilishi wa Rais wa Sudan ya Kusini Mhe Aggrey Tisa Sabuni akishukuru kwa nchi yake kukubaliwa kuwa mwanachama kamili wa Jumuiya

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein akiongea machache ikiwa ni pamoja na kukumbushia umuhimu wa Sudan ya Kusini kuwa mwanachama wa Jumuiya kwani awali nchi hiyo ilikuwa kiungo muhimu kwa nchi wanachama

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein akiendelea kuhutubia

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein akisisitiza jambo

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Liberat Mfumukeko akisoma maazimio ya mkutano

Meza kuu wakisaini na kuridhia maazimio ya mkutano 

Wimbo wa Jumuiya ukipigwa kuashiria mwisho wa mkutano

Wageni mashuhuri wakisimama kwa wimbo wa Jumuiya

Viongozi wakisalimiana na waalikwa

Viongozi katika picha ya pamoja na mawaziri kutoka nchi wanachama

Viongozi katika picha ya pamoja na mawaziri kutoka nchi wanachama

Viongozi katika picha ya pamoja na wabunge wa Jumuiya hiyo 

Picha ya pamoja na Sekretarieti ya Jumuiya

Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu Bw. Gerson Msigwa akisimamia shughuli ya picha za pamoja

Viongozi na wageni mashuhuri

Viongozi na wageni mashuhuri

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akimsindikiza Rais Paul Kagame wa Rwanda

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akiteta jambo na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Rutto

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akiteta jambo na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Rutto

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akiagana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na mmoja wa wageni baada ya kumalizika kwa mkutano huo. 
PICHA NA IKULU

No comments :

Post a Comment