Je, unao ndugu, jamaa, au rafiki yoyote mwenye degree na ni mwalimu wa lugha ya Kiswahili katika hii nchi yetu ya Tanzania?
Kuna program hii ya Fulbright ambayo ni kwaajili ya walimu wa lugha ya Kiswahili kuenda Marekani kufundisha Kiswahili.
Chuo kitakulipia kuchukua degree ya pili katika fani yoyote ile.
Please, wajulishe na wengine kuhusu hii program.
Kwa zaidi tembelea hapa chini:
No comments :
Post a Comment