Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya simu za mkononi ya Zantel, Benoit Janin (katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa uzinduzi rasmi wa huduma ya mtandao wa 4G ambapo sasa miji yote nchini itafikiwa na huduma hiyo. Kushoto ni Meneja Uendeshaji Mtandao, Ahmed Hassan Abdallah na Meneja Mauzo, Herbet Louis.
Meneja Mauzo wa kampuni ya simu za mkononi ya Zantel, Hebert Louis (kulia), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa uzinduzi rasmi wa huduma ya mtandao wa 4G ambapo sasa miji yote nchini itafikiwa na huduma hiyo. Kushoto ni Meneja Uendeshaji Mtandao, Ahmed Hassan Abdallah na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Zantel, Benoit Janin.
Meneja Uendeshaji Mtandao wa kampuni ya simu za mkononi ya Zantel, Ahmed Hassan Abdallah (wa pili kushoto), akiwaonyesha waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, jinsi ya kurekebisha simu na kuwa katika mpangilio wa automatiki wakati wa uzinduzi rasmi wa huduma ya mtandao wa 4G ambapo sasa miji yote nchini itafikiwa na huduma hiyo. Kushoto kwake ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Zantel, Benoit Janin na Meneja Mauzo, Herbet Louis.
No comments :
Post a Comment