dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Thursday, October 27, 2016

Taasisi ya Siti Bint Saad Yamtunuku Tunzo ya Uchangiaji Bora Muwekezaji wa Mradi wa Ujenzi wa Kijiji cha Utalii Matemwe Zanzibar!


Mwenyekiti wa Taasisi ya Siti Bint Saad Zanzibar Bi Nasra Mohammed Hilal akimkabidhi Tunzo ya Mlango wa Zanzibar Muwekezaji wa Mradi wa Ujenzi wa Kijiji cha Utalii  Matemwe Zanzibar Mr. Brian Thomson kwa mchango wake mkubwa kufanikisha Ujenzi wa Jengo hilo la Kumbukumbu ya Siti linalotarajiwa kujengwa katika Kijiji cha Fumba Zanzibar na kukabidhiwa Kadi ya Uwanachama wa Taasisi hiyo No 20, wakati wa hafla hiyo iliofanyika katika Ofisi za PennyRoyal Mazizini Zanzibar.



















No comments :

Post a Comment