Mwenyekiti wa Taasisi ya Siti Bint Saad Zanzibar Bi Nasra Mohammed Hilal akimkabidhi Tunzo ya Mlango wa Zanzibar Muwekezaji wa Mradi wa Ujenzi wa Kijiji cha Utalii Matemwe Zanzibar Mr. Brian Thomson kwa mchango wake mkubwa kufanikisha Ujenzi wa Jengo hilo la Kumbukumbu ya Siti linalotarajiwa kujengwa katika Kijiji cha Fumba Zanzibar na kukabidhiwa Kadi ya Uwanachama wa Taasisi hiyo No 20, wakati wa hafla hiyo iliofanyika katika Ofisi za PennyRoyal Mazizini Zanzibar.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment