dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Friday, November 11, 2016

Innaa Lillaahi wainnaa ilayhi Raajiuun: Hafidh Ali Tahir hatunaye tena!

Mbunge wa Dimani (CCM). Hafidh Ali Tahir amefariki dunia katika Hospitali ya General huko Dodoma. Kwa mujibu wa Wabunge wenzake wanasema juzi Mbunge huyo ambaye ni Kocha Msaidizi alikwenda mazoezini akiwa amevaa suti huku wenzake wakimtania kutokana na vazi hilo lakini mwenyewe alijibu hajisikii vizuri lakini baada ya mazoezi aliendelea na vikao vya kamati tendaji kama kawaida hadi saa nane usiku alipojisikia vibaya na kwenda hospitali mwenyewe kwa gari yake na baada ya saa moja alifariki dunia majirani ya saa tisa usiku. Mwenyeenzi Mungu amsamehe makosa yake na amlaze mahali pema

No comments :

Post a Comment