dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Sunday, November 20, 2016

Jukwaa la Katiba lamkumbusha JPM kuhusu Katiba Mpya!

Dar es Salaam. Jukwaa la Katiba Tanzania limemtaka Rais John Magufuli kuendelea mchakato wa Katiba Mpya kama CCM ilivyoahidi kwenye ilani ya uchaguzi.

Akizungumza leo mratibu wa jukwaa hilo, Hebron Mwakagenda amesema kauli ya Rais kwamba hakuwaahidi wananchi kwenye kampeni kuwa ataendeleza Katiba ni sawa na kukikana chama chake.

Amesema mchakato wa Katiba umetumia Sh 100 bilioni za walipakodi na kwamba usipoendelezwa ni sawa na dhuluma kwa wananchi.

No comments :

Post a Comment