dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Thursday, November 17, 2016

Mkutano wa uwekezaji wafanyika Daressalaam!

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Migodi ya Acacia, Brad Gordon akizungumza kuhusu uwekezaji wa kampuni yake hiyo, nchini pamoja na uzalishaji pia utekelezaji wa miradi ya kijamii kwenye maeneo ya migodi ya kampuni hiyo, wakati wa mkutano huo wa uwekezaji katika sekta za maliasili za mafuta na gesi, uchimbaji madini kilimo na maendeleo ya mifugo, uliotayarishwa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) na Kampuni ya Montage ya jijini Dar es Salaam leo. (Picha zote na Kassim Mbarouk-www.bayana blogspot.com)
Baadhi ya wawekezaji na washiriki wa mkutano huo, wakifuatilia maelezo mbalimbali yaliyokuwa yakitolewa na baadhi ya watendaji wa kampuni zilizowekeza vitega uchumi nchini katika sekta za maliasili za mafuta na gesi, uchimbaji madini kilimo na maendeleo ya mifugo, uliotayarishwa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) na Kampuni ya Montage ya jijini Dar es Salaam leo.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Anglogold Ashanti, Srinivasan Venkatakrishnan, akizungumza kuhusu uwekezaji wa kampuni yake hiyo nchini pamoja na uzalishaji pia utekelezaji wa miradi ya kijamii kwenye maeneo ya migodi ya kampuni hiyo, wakati wa mkutano huo wa uwekezaji katika sekta za maliasili za mafuta na gesi, uchimbaji madini kilimo na maendeleo ya mifugo, uliotayarishwa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) na Kampuni ya Montage ya jijini Dar es Salaam leo.  
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Anglogold Ashanti, Srinivasan Venkatakrishnan, akizungumza katika mkutano huo, wa uwekezaji katika sekta za maliasili za mafuta na gesi, uchimbaji madini kilimo na maendeleo ya mifugo, uliotayarishwa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) na Kampuni ya Montage ya jijini Dar es Salaam leo. 
Baadhi ya wawekezaji na washiriki wa mkutano huo, wakifuatilia mada mbalimbali pamoja na maelezo kuhusu kampuni zilizowekeza katika sekta za maliasili za mafuta na gesi, uchimbaji madini kilimo na maendeleo ya mifugo, uliotayarishwa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) na Kampuni ya Montage ya jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa na washiriki wa mkutano huo, wakifuatilia mada mbalimbali pamoja na maelezo kuhusu kampuni zilizowekeza katika sekta za maliasili za mafuta na gesi, uchimbaji madini kilimo na maendeleo ya mifugo, uliotayarishwa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) na Kampuni ya Montage ya jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya wawekezaji na washiriki wa mkutano huo, wakifuatilia kwa makini mada mbalimbali pamoja na maelezo ya watendaji wa kampuni zilizowekeza nchini katika sekta za maliasili za mafuta na gesi, uchimbaji madini kilimo na maendeleo ya mifugo, uliotayarishwa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) na Kampuni ya Montage ya jijini Dar es Salaam leo. 
Baadhi ya washiriki wakiwa katika mkutano huo, wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa na watendaji wa kampuni zilizowekeza nchini katika sekta za maliasili za mafuta na gesi, uchimbaji madini kilimo na maendeleo ya mifugo, uliotayarishwa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) na Kampuni ya Montage ya jijini Dar es Salaam leo.  
Mwenyekiti wa Shirikisho la Wenye viwanda nchini Tanzania, Dk. Samuel Nyantahe, akizungumza katika mkutano huo wa uwekezaji kuhusu ushiriki wa shirikisho hilo katika kukuza uwekezaji nchini.
Mkurugenzi wa Huduma za Uwanachama wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Louis Accaro, akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa TPSF, Godfrey Simbeye, wakati wa mkutano huo.
Baadhi ya washiriki wakiwa katika mkutano huo, uliotayarishwa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) pamoja na Kampuni ya Montage ya jijini Dar es Salaam leo.
Mwenyekiti wa Chemba ya Migodi na Nishati (TCME), Balozi Ami Mpungwe, akizungumza wakati wa mkutano huo, wa uwekezaji nchini.
Baadhi ya washiriki wakiangalia vijarida na machapisho yaliyokuwa na maelezo mbalimbali kuhusu uwekezaji wakati wa mkutano huo, uliotayarishwa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) na Kampuni ya Montage ya jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Montage, Teddy Mapundi, washirika katika kuandaa mkutano huo pamoja na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), akiwa katika mkutano huo.
Kaimu Kamishna wa Madini kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ally Samaje, akizungumza katika mkutano huo. 
Mkurugenzi wa Huduma za Uwanachama wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Louis Accaro, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu taasisi hiyo, ilivyojipanga katika kuinua uwekezaji nchini.


No comments :

Post a Comment