dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Monday, November 21, 2016

Rais wa Zanzibar Dk. Shein Afungua Kongamano wa Biashara Kati ya Tanzania na Comoro,Hoteli ya Sea Cliff Zanzibar!


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Waziri wa Biashara,Viwanda na Masoko Mhe,Amina Salum Ali alipowasili  kufungua Kongamano la Biashara baina ya Comoro na Tanzania katika ukumbi wa Sea Cliff Mangapwani Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akifuatana na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe,Riziki Pembe Juma (kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe,Ayoub Mohamed Mahamoud pamoja na Viongozi mbali mbali alipowasili  kufungua Kongamano la Biashara baina ya Comoro na Tanzania katika ukumbi wa Sea Cliff Mangapwani
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Waziri wa Mambo ya Nje wa Comoro Mhe,Mohamed Bacar Dossar (katikati) wakisimama pamoja na Viongozi wengine wa Meza Kuu wakati Wimbo wa Taifa wa Tanzania na Comoro ukipigwa  wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Biashara baina ya Comoro na Tanzania katika ukumbi wa Sea Cliff Mangapwani.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa hutuba yake ya ufunguzi wa Kongamano la Biashara baina ya Comoro na Tanzania,kwa Viongozi na Wafanyabishara mbali mbali lililofanyika katika ukumbi wa Sea Cliff Mangapwani 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa hutuba yake ya ufunguzi wa Kongamano la Biashara baina ya Comoro na Tanzania,kwa Viongozi na Wafanyabishara mbali mbali lililofanyika katika ukumbi wa Sea Cliff Mangapwani 
Rais wa Jumuiya ya Wafanyabiashara,Wakulima na Wenyeviwanda  Zanzibar. Ndg Tofiq Salim Turky, akitowa hutuba kwa niaba ya Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Zanzibar wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Pili la Wafanyabiashara wa Tanzania na lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Sea Cliff Cliff Mangapwani Zanzibar  
Rais wa Jumuiya ya Wafanyabiashara,Wakulima na Wenyeviwanda  wa Comoro akitowa hutuba kwa niaba ya Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Comoro wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Pili la Wafanyabiashara wa Tanzania na lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Sea Cliff Cliff Mangapwani Zanzibar.
Rais wa Jumuiya ya Wafanyabiashara,Wakulima na Wenyeviwanda  Tanzania akitowa hutuba kwa niaba ya Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Tanzania wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Pili la Wafanyabiashara wa Tanzania na lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Sea Cliff Cliff Mangapwani Zanzibar  



Baadhi ya Wafanyabiashara wa Visiwa vya Comoro wakisimama ulipopigwa Wimbo wa Taifa wa Tanzania na Comoro katika ufunguzi wa Kongamano la Biashara baina ya Comoro na Tanzania,lililofunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) katika ukumbi wa Sea Cliff Mangapwani
Baadhi ya Wafanyabiashara wa Visiwa vya Comoro wakisimama ulipopigwa Wimbo wa Taifa wa Tanzania na Comoro katika ufunguzi wa Kongamano la Biashara baina ya Comoro na Tanzania,lililofunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) katika ukumbi wa Sea Cliff Mangapwani
Baadhi ya Wafanyabiashara wa Visiwa vya Comoro wakisimama ulipopigwa Wimbo wa Taifa wa Tanzania na Comoro katika ufunguzi wa Kongamano la Biashara baina ya Comoro na Tanzania,lililofunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) katika ukumbi wa Sea Cliff Mangapwani
Baadhi ya Viongozi na Maafisa mbali mbali wa taasisi za Serikali na Binafsi wakiwa ufunguzi wa Kongamano la Biashara baina ya Comoro na Tanzania,lililofunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) katika ukumbi wa Sea Cliff Mangapwani 









No comments :

Post a Comment