dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Tuesday, November 8, 2016

Rasi Dk Shein alipotembelea Ujenzi wa Barabara ya Kuyuni-Ngomeni Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba!

 Wanafunzi wa Skuli ya Mgelema walipomkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) wakati alipotembelea Ujenzi wa Barabara ya Kuyuni-Ngomeni Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba alipofanya ziara ya kutembelea ujenzi wa  Barabara hiyo jana akiwa na ujumbe aliufuatana nao,[Picha na Ikulu.] 07 Nov 2016.
 Mwakilishi wa Kijijhi cha Ngomeni Ibrahim Zubeir Mwasiku akisoma risala kwa niaba ya wananchi wa kijiji hicho wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipofika Kijijini hapo pamoja na kuwasalimia Wananchi wakati alipotembelea Ujenzi wa Barabara ya  Kuyuni-Ngomeni Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba alipofanya ziara ya kutembelea ujenzi wa  Barabara hiyo jana,[Picha na Ikulu.] 07 Nov 2016.
 Baadhi ya Wananchi wa Kijiji cha Ngomeni shehia ya Mgelema  wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akiwasalimia Wananchi wakati alipotembelea Ujenzi wa Barabara ya  Kuyuni-Ngomeni Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba alipofanya ziara ya kutembelea ujenzi wa  Barabara hiyo jana,[Picha na Ikulu.] 07 Nov 2016.

 Afisa Mdhamini wa Wizara ya Afya Nd,Bakari Ali Bakari akitoa ufafanuzui wa utoaji wa huduma kwa Wananchi wa Kijiji cha Ngomeni shehia ya Mgelema  wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipofika Kijijini hapo pamoja na kuwasalimia Wananchi wakati alipotembelea Ujenzi wa Barabara ya  Kuyuni-Ngomeni Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba alipofanya ziara ya kutembelea ujenzi wa  Barabara hiyo jana,[Picha na Ikulu.] 07 Nov 2016.

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Ngomeni shehia ya Mgelema  wakati   alipotembelea Ujenzi wa Barabara ya  Kuyuni-Ngomeni Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba, alipofanya katika  ziara ya kutembelea ujenzi wa  Barabara hiyo jana,[Picha na Ikulu.] 07 Nov 2016.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Ngomeni shehia ya Mgelema  wakati   alipotembelea Ujenzi wa Barabara ya  Kuyuni-Ngomeni Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba, alipofanya  ziara ya kutembelea ujenzi wa  Barabara hiyo jana,(kushoto) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe,Mwanajuma Majid Abdalla,[Picha na Ikulu.] 07 Nov 2016.
 Baadhi ya Wananchi wa Kijiji cha Mgelema,shehia ya Mgelema  wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akiwasalimia Wananchi wakati alipotembelea Ujenzi wa Barabara ya Kipapo-Mgelema Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba alipofanya ziara ya kutembelea ujenzi wa  Barabara hiyo jana,[Picha na Ikulu.] 07 Nov 2016.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Mgelema  wakati   alipotembelea Ujenzi wa Barabara ya  Kipapo-Mgelema  Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba, alipofanya   ziara ya kutembelea ujenzi wa  Barabara hiyo jana,akiwa na ujumbe aliofuatana nao,[Picha na Ikulu.] 
07 Nov 2016.

Baadhi ya Viongozi wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Mgelema wakati alipotembelea Ujenzi wa Barabara ya Kipapo-Mgelema Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba, alipofanya ziara ya kutembelea ujenzi wa Barabara hiyo jana,akiwa na ujumbe aliofuatana nao,[Picha na Ikulu.] 07 Nov 2016.

No comments :

Post a Comment