Jengo Jipya la Wodi ya Watoto katika hospitali ya Mnazi Mmoja lililofunguliwa na Rais wa Zanzibar Dk Shein.
Jengo Jipya la Wodi ya Wazazi katika hospitali ya Mnazi Mmoja lililofunguliwa na Rais wa Zanzibar Dk Shein.
Viongozi wa Serikali na Wawakilishi wa Balozi wakiwa katika viwanja vya Majengo Mepya tya Wodi za Wazazi na Watoto katika hospitali ya Mnazi Mmoja wakimsubiri kumpokea mgeni Rasmin Rais wa Zanzibar Dk Shein, kwa ajili ya kuyafungua majengo hayo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, na Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Mahmoud Thabit Kombo wakielekea sehemu maalumu ilioandaliwa baada ya ufunguzi wa Majengo ya Hospitali ya Wazazi na Watoto iliojengwa katika eneo la Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja Zanzibar.
No comments :
Post a Comment