dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Saturday, November 12, 2016

Ufunguzi wa Majengo Mapya ya Wodi ya Kinamama na Watoto Katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar na Rais wa Zanzibar Dk Shein!

Jengo Jipya la Wodi ya Watoto katika hospitali ya Mnazi Mmoja lililofunguliwa na Rais wa Zanzibar Dk Shein. 
Jengo Jipya la Wodi ya Wazazi katika hospitali ya Mnazi Mmoja lililofunguliwa na Rais wa Zanzibar Dk Shein.  
Viongozi wa Serikali na Wawakilishi wa Balozi wakiwa katika viwanja vya Majengo Mepya tya Wodi za Wazazi na Watoto katika hospitali ya Mnazi Mmoja wakimsubiri kumpokea mgeni Rasmin Rais wa Zanzibar Dk Shein, kwa ajili ya kuyafungua majengo hayo.





















Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, na Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Mahmoud Thabit Kombo wakielekea sehemu maalumu ilioandaliwa baada ya ufunguzi wa Majengo ya Hospitali ya Wazazi na Watoto iliojengwa katika eneo la Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja Zanzibar. 

No comments :

Post a Comment