INNA LILLAHI WA INNA ILLAHI RAJIUN!
Assalaam alaykum warahmatullahi wabarakaatuh
Kwa niaba ya uongozi wa jumuiya ya kamati ya maziko ya Salaam Society of Bedfordshire tunapenda kukujulisheni ndugu zetu wote ya kuwa maziko ya ndugu yetu Hija Ameir Hafidh yatafanyika kesho siku
ya
Jumanne tarehe 24/01/2017.
Sala ya maiti itafanyika Queens Park
Saa 10:45am
Westbourne centre
Westbourne Road
MK40 4PQ
Maziko yatafanyika katika Cementry ya Bedford
Norse road cemetery
100-104 Norse road
Bedford
MK41 0RL
Tafadhali sambaza ujumbe huu kwa wote watakaojaaliwa kuhudhuria maziko ya marehemu.
ZINGATIA SANA WAKATI!
No comments :
Post a Comment