Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Assalamu Alaykum.
ReplyDeleteHabari za wakati huu, natumai muwazima asante.
samahani nimeangalia video yenu na imenigusa kiukweli na tatizo la maji kwasasa ni tatizo sugu kwa maeneo mengi Zanzibar.
Tafadhali kama kuna watu wa kusaidia kuchimba visima naomba wasaidie kijijini kwetu pia kuna tatizo hilo kwa muda mrefu sasa.
kama kuna msaada wowote naomba tuwasiliane kwa namba ya simu 0772 816 700.
Asante.