Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF amesema kuwa haki yake na ya wananchi wa Zanzibar kwenye uchaguzi wa Oktoba 25 mwaka 2015, itapatika hivi punde na haitafika Miezi mitatu.
Maalimu Seif amesema hayo leo akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dar es Salaam .
Maalimu seif amesema kuwa hujuma zinazoendelea ni kutaka kupoteza haki ya wananchi wa Zanzibar itakayopatikana hivi karibuni.
"Nina uhakika kabisa tena sina wasiwasi hata kidogo kuwa haki itapatikana hapa tulipofika ni mwenyezi mungu mwenyewe" amesema.
Maalimu Seif amesema hayo leo akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dar es Salaam .
Maalimu seif amesema kuwa hujuma zinazoendelea ni kutaka kupoteza haki ya wananchi wa Zanzibar itakayopatikana hivi karibuni.
"Nina uhakika kabisa tena sina wasiwasi hata kidogo kuwa haki itapatikana hapa tulipofika ni mwenyezi mungu mwenyewe" amesema.
No comments :
Post a Comment