dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Wednesday, July 5, 2017

Faida za kula kisamvu!

Ulaji wa kisamvu kwa wingi ni muhimu kwa sababu zifuatazo;
  1. Kuua bacteria mwilini
  2. Chanzo cha protini.
  3. Kulinda ini.
  4. Chanzo cha madini ya chuma
  5. Kuongeza damu na kuzuia anemia.
  6. Kuongeza ubora wa mbegu za uzazi za mwanaume.
  7. Kupunguza kiwango cha sukari kwenye damu.
  8. Kupunguza kiwango cha kolesteroli mwilini.
  9. Kuboresha kiwango cha wamama wanonyesha.
  10. Kuimarisha kinga za ini mwilini.

No comments :

Post a Comment