Hatma kuhusu migogoro inayoendelea ndani ya chama cha Wananchi (CUF), inaweza kuamuliwa leo kwenye Mahakama kuu.
Mgogoro wa huo ambao umezua Mpasuko, ndani ya Chama hicho, uliopelekea kuwa na mapande mawili.
Upande wa Kwanza ni wa Katibu Mkuu wa Chama hicho Maalim Seif Sharif Ahmad, na Upande wa pili ni wa Mwenyekiti wa Chama hicho Prof Ibrahim Lipumba.
Upande wa Maalimu seif Kuipitia Bodi ya wadhamini, ulifungua kesi Mahakamani hapo wakiushataki uapnde wa Professa Lipumba.
Mgogoro wa huo ambao umezua Mpasuko, ndani ya Chama hicho, uliopelekea kuwa na mapande mawili.
Upande wa Kwanza ni wa Katibu Mkuu wa Chama hicho Maalim Seif Sharif Ahmad, na Upande wa pili ni wa Mwenyekiti wa Chama hicho Prof Ibrahim Lipumba.
Upande wa Maalimu seif Kuipitia Bodi ya wadhamini, ulifungua kesi Mahakamani hapo wakiushataki uapnde wa Professa Lipumba.
No comments :
Post a Comment