dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Thursday, July 6, 2017

Hatma ya CUF kujulikana leo Mahakama Kuu!

Hatma kuhusu migogoro inayoendelea ndani ya  chama cha Wananchi (CUF), inaweza kuamuliwa leo kwenye Mahakama kuu.

Mgogoro wa huo ambao umezua Mpasuko, ndani ya Chama hicho, uliopelekea  kuwa na mapande mawili.

Upande wa Kwanza ni wa Katibu Mkuu wa Chama hicho Maalim Seif Sharif Ahmad, na Upande wa pili ni wa Mwenyekiti wa Chama hicho Prof Ibrahim Lipumba.

Upande wa Maalimu seif Kuipitia Bodi ya wadhamini, ulifungua kesi Mahakamani hapo wakiushataki uapnde wa Professa Lipumba.

No comments :

Post a Comment