"Rais Magufuli aliunda kamati mbili..., ni jambo jambo jema kulinda rasimali za nchi, hata hivyo ulindaji huo hauhitaji kuwa na pupa na hasa baada ya TRA kuiandikia ACACIA mdai ya kodi yanayofikia kiwango cha shilingi Trilioni 425, Taarifa hizi zimesambazwa katika vyombo mbalimbali vya kimataifa, kutangazwa huku ni kwa misingi ya kejeli zaidi, ikihoji kuna uwezekano gani wa kampuni kudaiwa kodi ambayo ni zaidi ya mara 10 ya bajeti ya Taifa husika?" Hayo ni sehemu ya manneo ya Mweneyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 31, 2017 Jijini Dar es salaam.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
No comments :
Post a Comment