dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Wednesday, July 26, 2017

Rais Trump asema wanaobadili jinsia hawawezi kuhudumu katika jeshi!

Rais Trump ametangaza kuwa Jeshi la Marekani halitawaruhusu watu wanaobadilisha jinsia zao kuendelea kufanya kazi ya aina yoyote jeshini.

Katika taarifa kadhaa kwenye mtandao wa Twitter, Bwana Trump alisema kuwa alifikia uamuzi huo baada ya kufanya mashauriano na maafisa wa vyeo vya juu jeshini.

Alisema watu wanaobadilisha jinsia zao wataligharimu jeshi kimatibabu na kuvuruga maisha ya kawaida jeshini.

Mapema mwezi huu waziri wa Ulinzi wa Marekani, James Mattis, alisimamisha uajiri wa watu wanaobadilisha jinsia zao kwa miezi sita.

No comments :

Post a Comment