Wananchi wa eneo la Jangome Unguja wakivunja nyumba zao baada ya taratibu za malipo ya majengo yao kukamilika ili kupisha Mradi wa Ujenzi wa Mtaro wa Maji Machafu unaotokea eneo la jangomba linalojaa maji na kufurika wakati wa mvua za masiki kikinyesha katika msimu wake na wananchi wa maeneo hayo kuhama makazi yao.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment