Kauli kutoka ofisi ya raisi nchini Zambia imethibitisha kuwa hali ya dharura imeongezwa kwa kipindi cha miezi mitatu nchini humo
Mabadiliko hayo yalipitishwakufuatia kura zilizopigwa na bunge la nchi hiyo mapema Jumanne hii.
Awali Raisi wa Zambia, Edgar Lungu alichukua hatua ya kuweka hali ya dharura ili kukabiliana na vile alivyodai kuwa ni "vitendo vya hujuma" vinavyofanywa na wapinzani wake baada ya moto kuchoma soko kubwa la nchi hiyo.
Mabadiliko hayo yalipitishwakufuatia kura zilizopigwa na bunge la nchi hiyo mapema Jumanne hii.
Awali Raisi wa Zambia, Edgar Lungu alichukua hatua ya kuweka hali ya dharura ili kukabiliana na vile alivyodai kuwa ni "vitendo vya hujuma" vinavyofanywa na wapinzani wake baada ya moto kuchoma soko kubwa la nchi hiyo.
No comments :
Post a Comment