dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Wednesday, July 12, 2017

Zambia yaongeza "hali ya dharura" hadi miezi mitatu!

Kauli kutoka ofisi ya raisi nchini Zambia imethibitisha kuwa hali ya dharura imeongezwa kwa kipindi cha miezi mitatu nchini humo

Mabadiliko hayo yalipitishwakufuatia kura zilizopigwa na bunge la nchi hiyo mapema Jumanne hii.

Awali Raisi wa Zambia, Edgar Lungu alichukua hatua ya kuweka hali ya dharura ili kukabiliana na vile alivyodai kuwa ni "vitendo vya hujuma" vinavyofanywa na wapinzani wake baada ya moto kuchoma soko kubwa la nchi hiyo.

No comments :

Post a Comment