Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe Ayoub Mohammed Mahmoud akionesha picha zilizotolewa zawadi kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, baada ya kumaliza ziara yake katika Mkoa huo wakati wa Mkutano wac majumuisho ya ziiara yake yaliofanyika katika ukumbi wa zamani Baraza la Wawakilishi Kikwajuni Zanzibar.
Hili blog ni kuhusu Tanzania na dunia nzima kwa ujumla. Pita kila siku kwa habari moto moto. (This blog is about Tanzania and the world as a whole. Pass-by everyday for breaking news). ***********************KARIBUNI NYOTE / YOU ARE ALL WELCOME!***********************
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment