dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Friday, August 4, 2017

MSAADA WA HARAKA UNAHITAJIKA!


Ndugu zetu Watanzania tunasikitika kuwafahamisha kuwa ndugu yetu na kaka yetu Meya Mlima (pichani juu)anashikiliwa na ICE (Immigration) tokea mwisho mwa wiki iliyopita huko New Hampshire.

Mpaka muda huu marafiki na wanafamilia ya Meya wanafuatilia kesi yake ili kujua jinsi gani tunaweza kumsaidia pamoja na kujua gharama za mwanasheria pia kujua mchakato mzima wa kesi itakavyosikilizwa.

Kamati inapenda kuwafahamisha marafiki, ndugu, na jamaa wa Meya kuwa kutahitajika msaada wa Pesa ili ndugu yetu aweze kutoka na kuendelea kuwalea vijana wake na kushiriki nasi katika gurudumu la maisha ya huku ughaibuni.

Kwa sasa Familia na kamati wako katika mchakano wa kupata mwanasheria mwenye uzoefu katika maswala ya uhamiaji (immigration) . Kamati na Familia itaendelea kuwafahamisha kila hatua itakayo piga katika kumsaidia ndugu yetu Meya Mlima

Kwa ushauri na maelezo zaidi wasiliana na wafuatao:

Babie Mgaza 2022005031
Raju Tambwe 4433177440
Jasmine Rubama 4103719966
Mganga Muhombolage 2023740988
Iddi sandaly 3016135165
Kessy Metro tires 2024135933
Jabir Jongo 2406040574

UNAWEZA KUTOA MSAADA WAKO HAPA TAFADHALI FAMILIA NA KAMATI INATANGULIZA SHUKURANI

KWA KUCHANGIA BOFYA HAPA

No comments :

Post a Comment