dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Friday, August 11, 2017

Tume ya uchaguzi Kenya yakiri Wadukuzi walijaribu kudukua mitambo ya tume hiyo!


Mwenyekiti wa IEBC Wafula Chebukati amethibitisha kwamba kulikuwa na jaribio la kudukua mitambo ya tume hiyo.

Hata hivyo, amesema wadukuzi hawakufanikiwa.

Muungano wa upinzani NASA ulikuwa umedai mitambo ya tume hiyo ilidukuliwa siku ya uchaguzi na matokeo yaliyokuwa yakipeperushwa katika tovuti ya tume hiyo yalikuwa 'yamechakachuliwa'.

No comments :

Post a Comment