dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Friday, August 11, 2017

UCHAGUZI KENYA: Wafuasi wa upinzani 'washerehekea' Kisumu

Wafuasi wa muungano wa upinzani National Super Alliance katika mtaa wa Kondele, Kisumu wamekusanyika barabarani na kusherehekea tangazo la muungano huo kwamba haukubali matokeo yanayotangazwa na Tume ya Uchaguzi IEBC mtandaoni.

Viongozi wa Nasa wamesema wamedai mgombea wa upinzani Raila Odinga ndiye aliyeshinda uchaguzi huo.

Mwandishi wa BBC Peter Njoroge amepiga picha hizi za wafuasi hao barabarani:



No comments :

Post a Comment