dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Tuesday, February 20, 2018

JOHN MNYIKA MSIBANI!

JANA February 19, 2018 Mbunge wa Jimbo la Kibamba na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA -Bara John Mnyika akiwa ameongozana na Afisa Habari wa CHADEMA Tumaini Makene walifika kwenye msiba wa Mwanafunzi aliyepigwa risas, Akwilina Akwilini akiwa kwenye daladala wakati Polisi wakitawanya waandamanaji wa CHADEMA.


No comments :

Post a Comment