dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Saturday, March 24, 2018

WAZEE WA SHINYANGA NI HATARI!

BABU WA MIAKA 90 MBARONI KWA KUBAKA WANAFUNZI WATANO SHINYANGA

Babu aliyejulikana kwa jina la Kachuka Malongo (90) anashikiliwa na polisi mkoani Shinyanga kwa tuhuma ya kubaka wanafunzi watano wenye umri kati ya miaka 8 hadi 12 wa shule ya msingi Tinde A na B kata ya Tinde wilaya ya Shinyanga. 

Kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga ACP Simon Haule amesema chanzo cha tukio hilo ni tamaa za mapenzi ambapo mtuhumiwa aliwabaka watoto hao kwa nyakati tofauti akiwarubuni kwa kuwapa pipi na pesa. 

Amesema tukio hilo la wanafunzi hao kubakwa limebainika Machi 21,2018 majira ya saa 2 na nusu asubuhi 

Kamanda Haule amesema wanaendelea kufanya mahojiano na mtuhumiwa na watamfikisha mahakamani mara baada ya uchunguzi kukamilika.

Na Kadama Malunde- Malunde1 blog 

No comments :

Post a Comment