dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Saturday, April 14, 2018

UZINDUZI WA PROGRAM YA MAFUNZO YA KUJIAJIRI NA KUONDOA UMASKINI WAFANYIKA!


 Mkurugenzi wa Ajira Ali Suleiman Ameir akitoa maelezo kuhusiana na Ajira katika Uzinduzi wa  Programu ya Mafunzo ya Kujiajiri na kuondoa Umaskini(Skill development and trade market)  katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Kikwajuni Mjini Zanzibar.Zaidi ya Madereva 70 wamekabidhiwa Tiket za  kwenda nchini Qatar kufanya kazi ya Udereva.
 Katibu Mkuu Wizara ya Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto Fatma Gharib Bilal akitoa hotuba ya kumkaribisha mgeni rasmi  katika Uzinduzi wa  Programu ya Mafunzo ya Kujiajiri na kuondoa Umaskini(Skill development and trade market)  katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Kikwajuni Mjini Zanzibar.Zaidi ya Madereva 70 wamekabiodhiwa Tiket za  kwenda nchini Qatar kufanya kazi ya Udereva.
 Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto Maudline Cyrus Custico akitoa hotuba ya Uzinduzi wa   Programu ya Mafunzo ya Kujiajiri na kuondoa Umaskini(Skill development and trade market)  katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Kikwajuni Mjini Zanzibar.Zaidi ya Madereva 70 wamekabidhiwa Tiket za  kwenda nchini Qatar kufanya kazi ya Udereva.kulia ni Naibu Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto Shadia Mohammed na kushoto ni Mkurugenzi Ajira Ali Suleiman Ameir. 
Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto Maudline Cyrus Custico akimkabidhi Tiket ya Kwenda Nchini Qatar Dereva Seif Kurwa Sanga katika Uzinduzi wa   Programu ya Mafunzo ya   Kujiajiri na kuondoa Umaskini(Skill development and trade market)  katika Ukumbi wa Baraza la  Wawakilishi la  Zamani Kikwajuni Mjini Zanzibar. Zaidi ya Madereva 70 wamekabidhiwa Tiket za  kwenda nchini Qatar kufanya kazi ya Udereva.
 Muakilishi kutoka Taasisi ya Usafirishaji ya Hamoup Company Ltd Haji Amour Haji akitoa neno la shukrani katika  Uzinduzi wa   Programu ya Mafunzo ya   Kujiajiri na kuondoa Umaskini(Skill development and trade market)  katika Ukumbi wa Baraza la  Wawakilishi la  Zamani Kikwajuni Mjini Zanzibar. Zaidi ya Madereva 70 wamekabidhiwa Tiket za  kwenda nchini Qatar kufanya kazi ya Udereva.
 Baadhi ya Madereva wanaokwenda Nchini Qatar kufanya kazi ya Udereva kupitia Programu ya Mafunzo ya Kujiajiri na kuondoa Umaskini(Skill development and trade market) iliozinduliwa na Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto Maudline Cyrus Custico katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Kikwajuni Mjini Zanzibar.
Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto Maudline Cyrus Custico katikati akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi na Madereva waliopatiwa Tiket za kwenda Nchini Qatar katika Uzinduzi  wa   Programu ya Mafunzo ya   Kujiajiri na kuondoa Umaskini(Skill development and trade market)  katika Ukumbi wa Baraza la Wwakilishi la Zamani Kikwajuni mjini Zanzibar.

PICHA  NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

No comments :

Post a Comment