dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Thursday, August 9, 2018

LINDI: BENKI YA WATU WA ZANZIBAR (PBZ BANK) YAIBUKA KIDEDEA KWENYE MAONYESHO YA NANE NANE MKOANI MTWARA!

Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ LTD) imechukuwa kikombe cha mshindi wa tatu katika maonesho ya nane nane ya mwaka 2018 katika mkoa wa Mtwara. Ushindi huu umepatikana katika category ya huduma za fedha na mifuko ya jamii. Mshindi wa kwanza alikuwa Benki Kuu (BoT), wapili NMB na watatu ni PBZ Bank.






















1 comment :

  1. Keep it up PBZ Ltd.
    We are proud of you!
    Msituangushe!

    ReplyDelete