dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Sunday, September 16, 2018

MAYWEATHER NA PACQUIAO KUZICHAPA TENA!


Floyd Mayweather kulia na Manny Pacquiao kushoto
Huenda Pambano la ngumi lililofanyika mwaka 2015 lililovunja rekodi ya kuwa na thamani kubwa kati ya bondia Floyd Mayweather na Manny Pacquiao likarudiwa tena baadaye mwaka huu.

Hiyo inakuja baada ya wawili hao kukutana uso kwa uso katika tamasha moja mjini Tokyo, Japan jana Jumamosi ambapo Floyd Mayweather kupitia video yake aliyoituma katika mtandao wa Instagram amesema ana mpango wa kurudia pambano hilo.

No comments :

Post a Comment