tag:blogger.com,1999:blog-3958144674751152509.post2865989148931204328..comments2024-03-27T13:49:54.691-04:00Comments on ZANZIBAR NI KWETU: KIJANA ALILIA KULIPIZA KISASI KWA WALIMU WA MBEYA, HAJALI KUINGIA MOTONI!!!znzkwetuhttp://www.blogger.com/profile/15947138619657626702noreply@blogger.comBlogger1125tag:blogger.com,1999:blog-3958144674751152509.post-4974891668848732812016-10-07T13:20:47.715-04:002016-10-07T13:20:47.715-04:00Jamani, huyu mtoto needs a psychological help, oth...Jamani, huyu mtoto needs a psychological help, otherwise atakuja kuua kweli!<br />Na huyu mama hana akili hata kidodgo, ilikuwaje akaisambaza video ya mwanawe kama hii? Badala ya kumsaidia yeye anamtangazia!<br />Ni balaa kubwa hili jamani. Mtoto huyu keshaharibikiwa na kili. Anataka msaada. Lazima asemezwe, lazima asaidiwe kimawazo na kifikra, else hatosahau maisha na walimu mbele yake watakuwa hatarini kila siku. Ipo siku wamkimkera wajue atafanya la kufanya, kwani sababu tayari anayo!!!Anonymousnoreply@blogger.com