Kiongozi wa Chama Cha Act-Wazalendo Zitto Kabwe amesema kuwa Muswada wa sheria wa Madini hauna afya ya kuulinda rasilimali zetu.
Zitto ameeleza kuwa kwenye muswada huo hakuna namna mzuri ya uwekezaji kwenye sekta hiyo hivyo hapatakuwa na maslahi mapana ya nchi.
"Kwenye sekta ya Madini hakuna uwekezaji kuna uvunaji. Ukielewa dhana hizi vizuri hautasumbuliwa na miswada inayopendekezwa"
Zitto ameeleza kuwa kwenye muswada huo hakuna namna mzuri ya uwekezaji kwenye sekta hiyo hivyo hapatakuwa na maslahi mapana ya nchi.
"Kwenye sekta ya Madini hakuna uwekezaji kuna uvunaji. Ukielewa dhana hizi vizuri hautasumbuliwa na miswada inayopendekezwa"
No comments :
Post a Comment