dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Monday, July 24, 2017

Lissu Akosa Dhamana!


Rais wa Chama Cha Wanasheria Nchi(TLS), Tundu Lissu amekosa Dhamana baada Upande wa Serikali kuibua hoja ya kupinga dhamani yake.

Hoja hizo zilizobishaniwa na Pande Zote mbili zilisikilizwa na Hakimu Mkazi Wilbard Mashauri kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.


Hakimu Mashauri amehailisha Kesi hiyo na Kusema kwamba Uamuzi wa Hoja hizo utatolewa Tarehe 27 Julai Mwaka (Alhamis)

No comments :

Post a Comment