Rais wa Chama Cha Wanasheria Nchi(TLS), Tundu Lissu amekosa Dhamana baada Upande wa Serikali kuibua hoja ya kupinga dhamani yake.
Hoja hizo zilizobishaniwa na Pande Zote mbili zilisikilizwa na Hakimu Mkazi Wilbard Mashauri kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Hakimu Mashauri amehailisha Kesi hiyo na Kusema kwamba Uamuzi wa Hoja hizo utatolewa Tarehe 27 Julai Mwaka (Alhamis)
No comments :
Post a Comment