dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Friday, July 7, 2017

LOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO HUYU WAZIRI..... ANGEKUWA MKEWE MWANANGU ANGEMUACHA SIKU HIO HIO!!!! MWENZIO UNAMUACHA ICU WEWE UNAKUENDA KUSHABIKIA MABUNO!!!

Waziri Mwakyembe Alivyomuacha mkewe 'ICU' akaenda kwa Saida Karoli


Usiku wa July 7 2017 mwimbaji wa mziki wa asili, Saida Karoli alikutana na mashabiki wake kwenye miaka 15 ya kusimama kuanguka na kuamka tena ya Saida Karoli ambapo wasanii mbalimbali, watu maarufu pamoja na mashabiki walijumuika naye Escape one Jijini DSM huku mgeni rasmi akiwa waziri wa Sanaa Mh Harisson Mwakyembe.

Kwenye kusalimia watu Mh. Mwakyembe alisema kuwa mkewe alikuwa na hali mbaya hospitali ICU ila kwa kuheshimu mchango wa Saida Karoli kwenye muziki wa Tanzania yeye na mkewe waliona ni vyema ahudhurie kwenye tamasha hilo.




No comments :

Post a Comment