Mtu mmoja amepoteza maisha kufautia mafuriko yaliosababishwa na mvua zilizonyesha nchini Ufaransa.
Mvua hizo zimenyesha katika enep la Kaskazini-Magharibi.
Mtu mmoja mwenye umri wa miaka 37 amezama akiwa ndani ya gari lake. Kitengo cha utabiri waa hali ya hewa kimetoa tahadhari kuwa mvua zinaweza kunyesha katika maeneo 16 Kaskazini-Magharibi mwa Ufaransa.
Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mengi nchini Ufaransa yamejipata katika mafuriko.
Morlaix na maeneo mengine yamekubwa na mafuriko.
Mvua hizo zimenyesha katika enep la Kaskazini-Magharibi.
Mtu mmoja mwenye umri wa miaka 37 amezama akiwa ndani ya gari lake. Kitengo cha utabiri waa hali ya hewa kimetoa tahadhari kuwa mvua zinaweza kunyesha katika maeneo 16 Kaskazini-Magharibi mwa Ufaransa.
Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mengi nchini Ufaransa yamejipata katika mafuriko.
Morlaix na maeneo mengine yamekubwa na mafuriko.
No comments :
Post a Comment