dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Monday, June 11, 2018

RAIS DK.SHEIN AFUTARISHA MKOA KASKAZINI UNGUJA!

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akijumuika na Viongozi na Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja katika Swala ya Magharibi jana iliyoswalishwa na Sheikh Shaibu Kadir Khamis,kabla ya futari aliyowaandalia Wananchi hao katika viwanja vya Ikulu ndogo ya Mkokotoni Wilaya ya Kaskazini "A".
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiwa na Viongozi mbali mbali katika Futari aliyoiandaa kwa Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja katika viwanja vya Ikulu Ndogo ya Mkokotoni,Wilaya ya Kaskazini "A".
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein (katikati) akijumuika na Viongozi Wanawake katika Futari iliyoaandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein katika viwanja vya Ikulu Ndogo ya Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja kwa ajili ya Wananchi wa Mkoa huo jana,(kulia) Waziri wa Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji Mhe.Sira ubwa Mamboya na Mwakilishi wa nafasi za Wanawake Mhe,Panya.
Baadhi ya Akinamama wa Shehia mbali mbali za Mkoa wa Kaskazini Unguja wakiwa katika Futari iliyoaandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein katika viwanja vya Ikulu Ndogo ya Mkokotoni,Wilaya ya kaskazini"A" Unguyja jana.
Baadhi ya Wananchi katika Mkoa wa Kaskazini Unguja wakiwa katika Futari iliyoaandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein katika viwanja vya Ikulu Ndogo ya Mkokotoni,Wilaya ya kaskazini"A" Unguyja jana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe,Vuai Mwinyi Mohamed wakiitikia dua iliyoombwa baada ya futari aliyowaandalia \wananchi wa Mkoa huo jana katika viwanja vya Ikulu Ndogo ya Mkokotoni,Wilaya ya kaskazini"A" Unguyja jana (kushoto) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara maalum za SMZ Mhe.Haji Omar Kher(kulia) Mwenyekiti wa CCM Mkoa huo Bw.Iddi Ali Ameir.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akiagana na Viongozi na Wananchi mbali mbali waliohudhuria katika futari aliyowaandalia Wananchi na Waislamu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja jana katika viwanja vya Ikulu Ndogo ya Mkokotoni Wilaya ya Kaskazini'A" Unguja.(Picha na Ikulu)

No comments :

Post a Comment