dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Saturday, June 16, 2018

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein ahutubia Baraza la IDD-EL-FITRI!

 Msafara wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein ukiwasili katika Viwanja vya Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Mjini Zanzibar,Rais akihudhuria katika Baraza la IDD-EL-FITRI lililofanyika leo katika kusheherekea Sikukuu ya Eid baada ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na Waziri wa Katiba,Sheria.Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Haroun Ali Suleiman alipowasili katika Viwanja vya Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Mjini Zanzibar, leo akihudhuria katika Baraza la  IDD-EL-FITRIlililofanyika  katika kusheherekea Sikukuu ya Eid baada ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan (katikati) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe.Ayoub Mohamed Mahmoud
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein  na Waziri wa Katiba,Sheria.Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Haroun Ali Suleiman (katikati) wakifuatana mara alipowasili katika Viwanja vya Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Mjini Zanzibar, leo akihudhuria katika Baraza la  IDD-EL-FITRI lililofanyika  katika kusheherekea Sikukuu ya IDD baada ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan (kushoto) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe.Ayoub Mohamed Mahmoud na Kamishana wa Polisi Zanzibar (CP) Mohamed Hassani Haji
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (mbele) akipokea salamu ya Heshma ya Gwaride la Kikosi cha Polisi FFU leo mara alipowasili katika Viwanja vya Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Mjini Zanzibar, katika Baraza la  IDD-EL-FITRI   lililofanyika  katika kusheherekea Sikukuu ya Eid baada ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.
 Askari wa Kikosi cha Polisi (FFU) wakitoa salamu ya Heshma kwa  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) wakati alipowasili katika Viwanja vya Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Mjini Zanzibar, katika Baraza la  IDD-EL-FITRI  lililofanyika leo  katika kusheherekea Sikukuu ya Eid baada ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na  Waziri wa Katiba,Sheria.Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Haroun Ali Suleiman (kulia)  mara alipowasili katika Viwanja vya Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Mjini Zanzibar, leo akihudhuria katika Baraza la  IDD-EL-FITRI lililofanyika  katika kusheherekea Sikukuu ya Idd baada ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan (kushoto) Kamishana wa Polisi Zanzibar (CP) Mohamed Hassan Haji
 Baadhi ya Viongozi na Wananchi wakiwa katika Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Mjini Zanzibar katika Sherehe za Baraza la  IDD-EL-FITRI lililofanyika  katika kusheherekea Sikukuu ya Idd baada ya kumalizika kwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan  lililofanyika leo Mgeni rasmi akiwa  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein
 Waziri wa Katiba,Sheria.Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Haroun Ali Suleiman (katikati) alipokuwa akimkaribisha  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani), ili kuzungumza na Wananchi na Viongozi katika Baraza la  IDD-EL-FITRI  ikiwa ni katka kusherehekea  Sikukuu ya Eid baada ya kumalizika kwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan hafla iliyofanyika leo  katika Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Mjini Zanzibar
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akiwahutubia viongozi,Mabalozi,Wananchi na Waislamu mbali mbali katika sherehe za Baraza la  IDD-EL-FITRI  baada ya kumalizika kwa Mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan,zilizofanyika leo katika  Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Mjini Zanzibar
 Baadhi ya Viongozi wakisikiliza na kuangalia Vitabu vya Hutuba ya  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) aliyoitoa leo katika Baraza la  IDD-EL-FITRI ikiwa ni kusherehekea Sikukuu baada ya kumalizika kwa Mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan sherehe zilizofanyika katika  Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Mjini Zanzibar
 Baadhi ya Viongozi Wanawake na Wanaume wakiangalia vitabu na kumsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) alipokuwa akitoa hutuba yake leo  katika sherehe za Baraza la  IDD-EL-FITRI  baada ya kumalizika kwa Mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan,zilizofanyika katika Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Mjini Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akiwahutubia Viongozi,Mabalozi,Wananchi na Waislamu mbali mbali katika sherehe za Baraza la  IDD-EL-FITRI  baada ya kumalizika kwa Mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan,zilizofanyika leo katika  Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Mjini Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akiwahutubia viongozi,Mabalozi,Wananchi na Waislamu mbali mbali katika sherehe za Baraza la  IDD-EL-FITRI  baada ya kumalizika kwa Mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan,zilizofanyika leo katika  Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Mjini Zanzibar
 Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Mama Samia Suluhu Hassan na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein wakiangalia vitabu na kumsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) alipokuwa akitoa hutuba yake leo  katika sherehe za Baraza la  IDD-EL-FITRI  baada ya kumalizika kwa Mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan,zilizofanyika katika Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Mjini Zanzibar
 Baadhi ya Viongozi na Wananchi wakiwa katika Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Mjini Zanzibar katika Sherehe za Baraza la  IDD-EL-FITRI lililofanyika  katika kusheherekea Sikukuu ya Idd baada ya kumalizika kwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan  lililofanyika leo Mgeni rasmi akiwa  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein 
 Makamo wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mohamed Gharib Bilal,Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe.Amani Abeid Karume na  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) wakichukua chakula baada ya sherehe za Baraza la  IDD-EL-FITRI  lililofanyika leo katika  Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Mjini Zanzibar
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akisalimiana na wananchi mbali mbali waliohudhuria katika sherehe za Baraza la  IDD-EL-FITRI lililofanyika leo katika  Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Mjini Zanzibar. 

Picha na IKULU. 

No comments :

Post a Comment