AirFreight

Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Friday, May 1, 2026

JUST SAY ALHAMDULILLAH!


CHINESE LANGUAGE SPREADING IN AFRICA!


DIASPORA DAY & ZANZIBAR INVESTMENT SUMMIT - 2026!

PPPP
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe Dkt. Hussein Ally Mwinyi anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Tamasha la Pili la Uwekezaji Zanzibar linalolenga kuvutia wawekezaji wa ndani na wa nje litakalofanyika kuanzia Juni 3 hadi 05 mwaka huu, visiwani Zanzibar. Tarehe 5 Juni, itakuwa ni siku ya Wana-Diaspora (Diaspora Day) katika hili Tamasha na Wana-Diaspora wanaombwa na kitengo cha Diaspora (Ikulu, Zanzibar) kushiriki kikamilifu na kujiandikisha.

Link ya kujiandikisha ni: www.zis.zipa.go.tz


Tamasha hilo linalotarajiwa kuwaleta pamoja washiriki 500 kutoka ndani na nje ya nchi wakiwemo wawekezaji, watunga sera, wafanyabiashara wakubwa na washirika wa maendeleo linalenga kutanua wigo wa uwekezaji Zanzibar na Tanzania kwa ujumla hasa atika sekta ya Uchumi wa Buluu.

Missing the Good Old Days of December!


No Destination - Just Walking Through Quiet Parks!


MV MAPINDUZI HEADING TO PEMBA ON 1ST MAY, 2026!


SAFARI REFU, MAISHA MAFUPI!

“There are books you read… and there are books that read you".

Safari Refu Maisha Mafupi by Zahor S. Hemed is one of those rare books.


At first glance, you might think it’s simply a story about the journey of his life.

But once you open it, you discover a treasure of lessons.

It is not a religious book - yet it is rich with spiritual insight.

It is not about the environment - yet it gently reminds us of our duty to care for it.

It is not a history book - yet it brings to life moments and events of great significance.

It is not a travel book - yet it takes you on a journey of the mind.

It is not an academic text - yet it inspires a deep appreciation for education.

It is not an economics book - yet it carries a vision of development and progress.

It is a small book in size… but immense in what it contains.

Don’t miss your copy!!!—

It just might change the way you see your own journey through life.

For now, the book is available at:

Ustadh Ali Said, Chake Chake, Pemba.

Zanzibar Renaissance Literary Society, Zanzibar.

Abu Ubaidah Islamic Centre, Toronto, Canada.

Ustadh Ali Nassor, London, UK.

Soon, the book will also be available in the United States and across major European capitals.

🔴 Al Jazeera English | Live!