AirFreight

Kwarara Msikitini

Dual Citizenship #2

Dual Citizenship #2

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

Mwanakwerekwe shops ad

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Thursday, May 14, 2026

SHERIA KWA CHADEMA, UKIMYA KWA CCM: HUU SI USAJILI, NI ULINZI WA MADARAKA!

MSAJILI WA VYAMA TANZANIA!

Na Amani K. Mrope | Dar es Salaam Bureau

Barua ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kwa CHADEMA si barua ya kawaida ya kiutawala.

Ni kioo cha tatizo kubwa zaidi linaloitesa Tanzania: sheria inapogeuzwa kuwa rungu kwa wapinzani, lakini inapogeuka blanketi la kuwafunika watawala.

Msajili anapoiita CHADEMA kutoa maelezo kwa kauli zake za kisiasa, hasa kuhusu “No Reforms No Election”, madai ya kuachiwa kwa Tundu Lissu na msimamo wake juu ya Tume ya Chande, swali la kwanza si kama Msajili ana ofisi.

Swali ni kama ofisi hiyo inasimama juu ya Katiba au juu ya hofu ya chama tawala.

Kwa mujibu wa nyaraka za CHADEMA, chama hicho kilizuiwa kufanya shughuli zake kwa siku 309 hadi Mahakama ya Rufaa ilipoondoa zuio hilo. CHADEMA pia inasema zuio hilo liliwanyima mamilioni ya wanachama, wafuasi na wapenzi wake haki ya kufanya siasa chini ya Ibara ya 20, 21 na 29 za Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Poor Leg Circulation? Do These 4 Exercises While Sitting | Doctor Demonstrates!


MAHUJAJI WAANZA KUUNDOKA NCHINI KUELEKEA SAUDIA KUTEKELEZA IBADA YA HIJJA 5!


BARABARA YA MARIKITI YA KWEREKWE YANG'ARISHWA!


ZANZIBAR NI KWETU'S OFFICIAL MUSIC!


🔴 Al Jazeera English | Live!


The Story of Muhammad (PBUH) || Learn English Through Story Level 3!