dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Monday, October 13, 2014

Viongozi Chadema Wawasili Pemba.

 Viongozi wa Chadema wakiwapungia mikono wananchi waliofika kuwapokea Uwanja wa Ndege wa Chakechake Pemba baada ya kuwasili kisiwani humo kwa mkutano wao Wakiwa na Katibu Mkuu wa Chadema Slaa.
 
Katibu Mkuu wa Chadema Dk,Slaa akivishwa koja la maua na mtoto aliyweandaliwa katika sherehe za mapokezi ya Viongozi hao walipowasili uwanja wa ndege Pemba kwa ziara yao na kuzungumza na wanachama wao.
 

             Ngoma ya Kibati ikitumbuiza mapokezi ya viongozi wa Chadema huko Pemba.
 

 Katibu mkuu wa Chadema Taifa.Dk Slaa akiwahutubia Wanachama wa Chadema huko
katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari ya FidelCastro Pemba.
 

Chanzo: ZanziNews

No comments :

Post a Comment