dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Friday, January 23, 2015

ZANZIBAR NI KWETU BLOG MOURNS THE DEATH OF A GREAT KING!

The Executive Editor of Zanzibar Ni Kwetu who spent a number of years in the Kingdom of Saudi Arabia had this to say today when he was informed of the sudden demise that has befallen the Saudi people as  a result of the untimely death of King Abdullah bin Abdulaziz.

"Inna Lillahi Wa Inna Illahi Rajiun.
In King Abdullah, we have lost an important voice today. This voice meant a lot to many of us who crave for peace and stability in the World.

I personally condole this demise and my deep thoughts are with the people of Saudi Arabia and the people of the World for having lost a great statesman and a great world figure. 


May God rest his soul in PEACE and give strength to the royal family members and the Saudi people to bear this irreparable loss with grace and humility. 

Ameen!"

3 comments :

  1. Nyinyi Zanzibar Ni Kwetu tulidhani mnaipigania Zanzibar yenu kumbe ni watumwa wa waalabu.
    Sawa tushakufahamuni sasa. Mfalume wa waalabu akifa katuhusu nini sisi watanzania wa bongo? Kaja kwa udongo kaludi kwa udongo, sasa nini ajabu hapo?

    ReplyDelete
  2. Dear Ndugu Mdanganyika (Anonymous),
    Zanzibar Ni Kwetu inapenda kukufahamisha kuwa sisi sio watumwa wa Waalabu (correct word ni Waarabu) na pia sio watumwa wa Wadanganyika, bali ni wenye kutumika katika kuitafuta Zanzibar yenye Mamlaka Kamili yanayokuja katika uchaguzi wa mwisho wa mwaka huu.
    Nani wakuwa mourned for? Ni wewe Mdanganyika uliokwapua pesa za ESCROW kwa mabilioni bila ya kuona haya wakati mahospitalini hamna dawa na mkagawana wenyewe kwa wenyewe, yaani baina yenu wezi kwa wezi, au yule ambae alikuwa anauwezo wa kuiacha bei ya mafuta kama ilivyokuwa juu ($100+) lakini hajafanya hivyo kwa kutopunguza uzalishaji wa crude oil ili sote tufaidike na bei nafuu ya leo ambayo ipo chini ya Dollar 45/barrel?
    -Executive Editor.

    ReplyDelete
  3. Kufariki dunia ni kwa kila kiumbe,bila kujali rangi,kabila au uwananchi.Kwa Wazanzibari,ambao asli mia 99% ni waislamu,kuomboleza kifo ni moja ya utaratibu wa dini.Kwa hivyo ilivuokuwa "zanzibar ni kwetu" inaongozwa na wazanzibari,sio ajabu kuona nakala inayo omboleza kifo cha muislam.Hapa nahisi tatizo la(mwaalabu) ni chuki zake binafsi juu ya wazanzibari.

    ReplyDelete