dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Sunday, January 22, 2017

Maradhi haya hutibiwa na ulaji wa mboga ya majani mchicha!


  1. Kuumwa mgongo
  2. Kusafisha njia ya mkojo
  3. Kusafisha damu
  4. Unatibu tigo
  5. Unatibu minyoo
  6. Unatibu damu
  7. Baridi yabisi
  8. Tezi la shingo
  9. Homa
  10. Kuongeza damu
  11. Unatibu maumivu
  12. Tonic ya nywele
  13. Unasaidia kupata haja ndogo kwa wingi
  14. Kutibu Mgongo
Chukua mchicha ponda. Chua mara 3 kwa siku. Usiku unapasha moto mchicha kisha unufunga mahali panapouma. Lala nao wakati vuguvugu la joto lake lenye maji ndani (dawa) ikiingia ndani fanya hivyo kwa siku 5, ukibadilisha kila siku (fresh)

    15. Tiba ya tezi ya shingo
Chukua mchicha kiasi kidogo, ponda, fungia shingoni pale penye uvimbe wakati unapolala kwa kitambaa, kwa muda wa siku 5.

Matayarisho
Chukua mchicha kilo 1 chemsha maji lita 2 na nusu.
Yakichemka loweka mchicha kwa dakika 15. Tumia kikombe. Ni bora utumie yote kwa siku . Dozi ni siku 5.

No comments :

Post a Comment