dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Wednesday, March 15, 2017

Majani ya mpapai husaidia kutibu magonjwa yafuatayo!


Umuhimu wa majani ya papai katika kutibu magonjwa yafutayo:

Majani ya papai husaidia kwa kiwango cha juu katika kutibu majeraha ya vidonda.

Unachotakiwa kufanya ni.

Chukua majani ya papai kisha yatwange twage mpaka uhakikishe yamesagika kabisa.  Kisha yapake majani hayo katika kidondo kisha yaache kwa muda wa saa moja hadi uhakikishe yale maji maji ya kwenye majani yameingia katika kidonda.

Kumbuka: kuweka kidonda hicho katika hali ya usafi kila wakati ili kuzuia bakteria kuingia katika kidondo.

Majani ya mpapai husaidia kutibu shinikizo la damu ( blood pressure).

Unachokiwa kufanya ni

Chemsha maji ya moto, maji yakishachemka yaepue, kisha chukua majani ya mpapai yaweke ndani ya maji hayo yamoto.

Uache mchanganyiko huo upoe, kisha yatoe majani hayo, kisha kunywa mchanganyiko huo.

/Muungwana.

No comments :

Post a Comment