dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Monday, March 13, 2017

UTATA kuhusu "DAUD ALBERT BASHITE" umekwisha rasmi Leo!

Askofu wa kanisa la ufufuo na uzima, Josephat Gwajima amesema Rais Magufuli ni kama nabii kwani alijua wenye vyeti feki watatoroka wenyewe. -Amedai Paul Makonda ana kosa la kufoji ambalo adhabu yake ni kufungwa miaka saba, wizi wa mtu anayetekeleza madaraka ya umma, kosa la kusema uongo chini ya kiapo na kupokea mshahara kwa jina la uongo

No comments :

Post a Comment