dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Saturday, March 11, 2017

Vigogo wa CCM waliotumbuliwa na kamati iliyoongozwa na Rais Magufuli!

Leo kamati kuu ya maadili ya chama cha mapinduzi imekaa na kufanya maamuzi mbalimbali Dodoma, Baada ya kikao cha halmashauri kuu, katibu wa itikadi na uenezi, Humphrey Polepole amezungumza na waandishi wa habari kuhusu kuwasimamisha, kuwapa onyo na kuwafukuza wanachama pamoja na wajumbe wa halmshauri kuu wa chama cha mapinduzi.



No comments :

Post a Comment