dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Sunday, May 28, 2017

MBOWE JUU YA CHADEMA NA TAIFA!


YALIYOJIRI KATIKA MKUTANO WA BARAZA KUU LA CHADEMA

 MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendelea CHADEMA, Freeman Mbowe akifungua mkutano huo uliofanyika Mkoani Dodoma Mei 27,2017.
 Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk Vincent Mashinji akizungumza
 Meza kuu
 Mwenyekiti wa CHADEM, Freeman Mbowe akisoma taarifa za chama. 
Picha zote na Mroki Mroki.
 Wajumbe wa Baraza Kuu wakiwa katika Mkutano huo mjini Dodoma 
 Wimbo wa Taifa uliimbwa
 Dua ilifanyika kabla ya kuanza mkutano huo.
 Wajumbe wakiwa mkutanoni
 Wajumbe ambao ni Wabunge wa Viti Maalum kutoka Mkoa wa Dodoma, Dk Immaculate Sware (kushoto) na Devotha Minja wa Morogoro.

Wajumbe wakifuatilia mkutano huo.

No comments :

Post a Comment