Baadhi ya Viongozi wa Serikali na Viongozi wa Dini Zanzibar na Wawakilishi wa Mfalme Qaboos wakiwa katika viwanja vya Masjid Jaamiu Zinjibar Mazizini Zanzibar wakisubiri kumpokea Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzin Alhajj Dkt. Ali Mohamed Shein, kwa ajili ya Ufunguzi wa msiokiti huo ulioko katika maeneo ya mazizini jirani na Chuo cha Kiislam Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dkt. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud alipowasili katika viwanja hivyo kwa ajili ya kuufungua msikiti huo leo ijumaa 22/9/2017.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dkt. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Balozi wa Oman Nchini Tanzania alipowasili katika viwanja vya Masjid Jaamiu Zinjibar Mazizini Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Secretary General of the Sultan Qaboos Higher Center for Culture and Science Mhe. Habib Mohammed Al Riyam, alipowasili katika viwanja vya masjid Jaamiu Zinjibar Mazizini kuhudhuria ufunguzi wa Masjid hiyo leo, uliofunguliwa rasmin na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Ali Mohamed Shein.kulia Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe. Mohammed Aboud Mohammed.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Balozi wa Oman Nchini Tanzania alipowasili katika viwanja vya masjid hiyo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiwapungia mkono Waislamu mbali mbali alipowasili katika ufunguzi Msikiti Massjid Jaamiu Zinjibar uliopo Mazizini Wilaya Magharibi 'B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo,sambamba na Kituo Kikuu cha Sayansi na Utamaduni cha Sultan Qaboos,"Sultan Qaboos Higher Center for Culture and Science" ambao umejengwa na Serikali ya Zanzibar kwa kushirikiana na Serikali ya Oman.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na Mkuu wa Kituo Kikuu cha Sayansi na Utamaduni cha Sultan Qaboos,"Sultan Qaboos Higher Center for Culture and Science" Mhe.Habib Mohammed Al-Riyami mara alipowasili katika ufunguzi Msikiti Massjid Jaamiu Zinjibar uliopo Mazizini Wilaya Magharibi 'B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo,uliojengwa na Serikali ya Zanzibar kwa kushirikiana na Serikali ya Oman.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na Viongozi mbali mbali mara alipowasili katika ufunguzi Msikiti Massjid Jaamiu Zinjibar uliopo Mazizini Wilaya Magharibi 'B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo,ambao umejengwa na Serikali ya Zanzibar kwa kushirikiana na Serikali ya Oman.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein alipofuatana na Viongozi mbali mbali wakiwemo Kituo Kikuu cha Sayansi na Utamaduni cha Sultan Qaboos,"Sultan Qaboos Higher Center for Culture and Science" wakati alipotembelea sehemu mbali mbali za Msikiti Masjid Jaamiu Zinjibar baada ya kuufungua rasmi leo,ambao umejengwa Mazizini Wilaya Magharibi 'B" Mkoa wa Mjini Magharibi kwa Ushirikiano wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Serikali ya Watu wa Oman.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Kituo Kikuu cha Sayansi na Utamaduni cha Sultan Qaboos,"Sultan Qaboos Higher Center for Culture and Science" Mhe.Habib Mohammed Al-Riyami wakati alipotembelea sehemu mbali mbali mara alipofungua Msikiti Massjid Jaamiu Zinjibar uliopo Mazizini Wilaya Magharibi 'B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo,uliojengwa na Serikali ya Zanzibar kwa kushirikiana na Serikali ya Oman.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akipokea Shahada na Ufunguo kutoka kwa Mkuu wa Kituo Kikuu cha Sayansi na Utamaduni cha Sultan Qaboos,"Sultan Qaboos Higher Center for Culture and Science" Mhe.Habib Mohammed Al-Riyami kama ishara ya ufunguzi rasmi wa Msikiti Masjid Jaamiu Zinjibar leo uliojengwa kwa Ushirikiano wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Serikali ya Watu wa Oman katika maeneo ya Mazizini Wilaya Magharibi 'B" Mkoa wa Mjini Magharibi.
Baadhi ya Viongozi na Waislamu mbali mbali wakiwa katika Msikiti Massjid Jaamiu Zinjibar uliofunguliwa leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) ambao umejengwa na Serikali ya Zanzibar kwa kushirikiana na Serikali ya Oman,katika eno la Chuo cha Kiislamu Mazizini Wilaya Magharibi 'B" Mkoa wa Mjini Magharibi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein na Mkuu wa Kituo Kikuu cha Sayansi na Utamaduni cha Sultan Qaboos,"Sultan Qaboos Higher Center for Culture and Science" Mhe.Habib Mohammed Al-Riyami (katikati) pamoja na Viongozi na Waislamu mbali mbali wakiwa katika Msikiti Massjid Jaamiu Zinjibar uliopo Mazizini Wilaya Magharibi 'B" Mkoa wa Mjini Magharibi baada ya kuufungua leo,ambao umejengwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa kushirikiana na Serikali ya Oman.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) na Viongozi mbali mbali na ujumbe wa Serikali ya Oman wakiwa katika Swala ya Ijumaa Iliyoswalishwa na Sheikh Fadil Soraga leo baada ya ufunguzi rasmi wa Msikiti Massjid Jaamiu Zinjibar uliopo Mazizini Wilaya Magharibi 'B" Mkoa wa Mjini Magharibi,ambao umejengwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa kushirikiana na Serikali ya Oman.
Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibae Sheikh Fadhil Soraga alipokuwa akitoa Khutba ya Swala ya Ijumaa leo wakati wa ufunguzi rasmi wa Msikiti Masjid Jaamiu Zinjibar uliofunguliwa leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) sambamba na Kituo Kikuu cha Sayansi na Utamaduni cha Sultan Qaboos,"Sultan Qaboos Higher Center for Culture and Science" ,msikiti huo umejengwa kwa Ushirikiano wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Serikali ya Watu wa Oman katika maeneo ya Mazizini Wilaya Magharibi 'B" Mkoa wa Mjini Magharibi.
Mkuu wa Kituo Kikuu cha Sayansi na Utamaduni cha Sultan Qaboos,"Sultan Qaboos Higher Center for Culture and Science" Mhe.Habib Mohammed Al-Riyami alipokuwa akitoa maelezo mafupi kabla ya kukabidhi Shahada na Funguo kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) ikiwa kama ugunguzi rasmi wa Msikiti Massjid Jaamiu Zinjibar uliojengwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa kushirikiana na Serikali ya Oman katika Eneo la Chuo cha Kiislamu Mazizini Wilaya Magharibi 'B" Mkoa wa Mjini Magharibi baada ya kuufungua leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake ya ufunguzi wa Msikiti Masjid Jaamiu Zinjibar,sambamba na Kituo Kikuu cha Sayansi na Utamaduni cha Sultan Qaboos,"Sultan Qaboos Higher Center for Culture and Science" , uliojengwa Mazizini Wilaya Magharibi 'B" Mkoa wa Mjini Magharibi kwa Ushirikiano wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Serikali ya Watu wa Oman.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) alipokuwa akiagana na Viongozi mbali mbali wa Serikali ya Watu wa Oman baada ya kumalizika kwa sherehe za ufunguzi wa Msikiti Massjid Jaamiu Zinjibar uliopo Mazizini Wilaya Magharibi 'B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo,uliojengwa na Serikali ya Zanzibar kwa kushirikiana na Serikali ya Oman.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akiagana na Mkuu wa Kituo Kikuu cha Sayansi na Utamaduni cha Sultan Qaboos,"Sultan Qaboos Higher Center for Culture and Science" Mhe.Habib Mohammed Al-Riyami (katikati) pamoja na Viongozi na Waislamu mbali mbali baada ya kumalizika sherehe za ufunguzi wa Msikiti Massjid Jaamiu Zinjibar uliopo Mazizini Wilaya Magharibi 'B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo,ambao umejengwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa kushirikiana na Serikali ya Oman.
No comments :
Post a Comment