Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa na Viongozi wa Serikali wakisubiri kumpokea Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, wakati wa hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi la Mradi wa Ujenzi wa Mji wa Kisasa Nyamanzi Wilaya ya Magharibi A Unguja. Fumba Town Development.
/ZanziNews
No comments :
Post a Comment