Rais mpya wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa ameahidi kupambana na rushwa nchini humo.
Cyril Ramaphosa ameyazungumza hayo wakati wa hotuba yake ya kwanza kwa taifa toka kuondolewa madarakani kwa Jacob Zuma.
Cyril Ramaphosa ameahidi kuwa atapambana na rushwa katika mashirika ya kiserikali na vilevile atahakikisha anavutia wawekezaji zaidi nchini.
Uchunguzi dhidi ya wala rushwa utaanza kufanywa rasmi.
Familia ya Gupta ni kati wale waliotuhumiwa kuwa na ushawishi mkubwa kwa Jacob Zuma kwa malengo yao wenyewe.
Cyril Ramaphosa ameyazungumza hayo wakati wa hotuba yake ya kwanza kwa taifa toka kuondolewa madarakani kwa Jacob Zuma.
Cyril Ramaphosa ameahidi kuwa atapambana na rushwa katika mashirika ya kiserikali na vilevile atahakikisha anavutia wawekezaji zaidi nchini.
Uchunguzi dhidi ya wala rushwa utaanza kufanywa rasmi.
Familia ya Gupta ni kati wale waliotuhumiwa kuwa na ushawishi mkubwa kwa Jacob Zuma kwa malengo yao wenyewe.
No comments :
Post a Comment