dual citizenship

Pemba Paradise

Zanzibar Diaspora

Mwanakwerekwe shops ad

ZanzibarNiKwetuStoreBanner

ZNK Patreon

Scrolling news

************ KARIBUNI..................Contact us for any breaking news or for any information at: znzkwetu@gmail.com. You can also fax us at: 1.801.289.7713......................KARIBUNI

Saturday, February 17, 2018

Rais Ramaphosa aahidi kupambana na rushwa!

Rais mpya wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa ameahidi kupambana na rushwa nchini humo.

Cyril Ramaphosa ameyazungumza hayo wakati wa hotuba yake ya kwanza kwa taifa toka kuondolewa madarakani kwa Jacob Zuma.

Cyril Ramaphosa ameahidi kuwa atapambana na rushwa katika mashirika ya kiserikali na  vilevile atahakikisha anavutia wawekezaji zaidi nchini.

Uchunguzi dhidi ya wala rushwa utaanza kufanywa rasmi.

Familia ya Gupta ni kati wale waliotuhumiwa kuwa na ushawishi mkubwa kwa Jacob Zuma kwa malengo yao wenyewe.

No comments :

Post a Comment